Mlinzi: Familia Takatifu
Jumuiya ya Familia Takatifu
Jumuiya inayosisitiza amani, upendo, na malezi bora ya watoto na vijana kulingana na misingi ya Kikristo.
Eneo: Buhongwa Relini
Siku ya Sala: Alhamisi (Saa 10 Jioni)
Kiongozi: Mama Salome Juma
Mlinzi: Mt. Aloysius Gonzaga
Jumuiya ya Mt. Aloysius Gonzaga
Jumuiya inayowajumuisha vijana na familia nyingi kwa ajili ya kusali na kujenga misingi imara ya kiroho.
Eneo: Buhongwa Stoo
Siku ya Sala: Jumatano (Saa 11 Jioni)
Kiongozi: Ndugu Raymond Henry
Mlinzi: Mt. Kizito
Jumuiya ya Mt. Kizito
Jumuiya yenye historia ya ushirikiano mkubwa kwenye shughuli za parokia na huduma za kijamii.
Eneo: Katoro Mkabala
Siku ya Sala: Jumanne (Saa 11 Jioni)
Kiongozi: Mzee John Makoye